Thursday, 1 August 2013

MALENGO.

  1. Kujifunza Kufanikiwa katika mambo yote kwa njia ya  Neno la Mungu.

 2. Kumdhihirisha Mungu katika changamoto za  Maisha azitatue na aachilie,
      “Mambo ambayo jicho halikuyaona wala Sikio halikuyasikia,(Wala hayakuingia katika Moyo wa mwanadamu) Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao” (1Wakorintho2:9).

3. Mungu ajifunue kwa watu aseme nao waziwazi wasikie sauti yake  tule mema ya nchi

4. Kuwa watendaji wa Neno.

5. Kuachilia Upendo wa Mungu kwa watu wamfahamu na wampokee awe BWANA na Mwokozi  wao.

6.Kuhuhisha  Roho ya Maombi itawale mfumo wa maisha wa watu wote.

7.Kumtangaza sana Mungu kuliko shetani kwa kila Jambo

No comments:

Post a Comment